Monday, May 14, 2012



Naibu waziri wa ujenzi Gerson Lwenge, kushoto akikagua ukarabati wa kipande cha Barabara ya TANZAM kutoka Iringa hadi Mafinga chenye urefu wa 70km.Kulia ni Bw. Wessel Schueting, meneja mradi wa kampuni ya Aarself-Interberton.

Mradi wa ukarabati wa barabara hii unagharim Euro milioni 38.5.na unatekelezwa na kampuni ya Aarself-Interberton.

No comments:

Post a Comment